Search This Blog

Monday, June 18, 2012

HIVI NDIVYO MAMBO YALIVYOKUWA MSUMBIJI WALIPOITOA TAIFA STARS

Umati wa mashabiki wa Msumbiji wakiwa uwanjani kuisapoti timu yao

Haruna Moshi Boban , Mrisho Ngassa, Nurdin Bakary na wachezaji wengine wa Tanzania wakiwa kwenye benchi.


Shoamri Kapombe akipambana dimbani kumtoka beki wa Msumbiji

Frank Domayo na Shomari Kapombe wakipata maelekezo kutoka kwa kocha Kim Poulsen


Baadhi ya mashabiki wa kitanzania wakiisapoti timu kwenye mchezo wa jana

Mrisho Khalfan Ngassa akiwapeleka puta mabeki wa Msumbiji

Mbwana Samatta akijaribu kumtoka beki wa Msumbiji


No comments:

Post a Comment