Search This Blog

Friday, June 1, 2012

HADHARA CHARLES AUNGANA NA KINA NWANKWO KANU NA PATRICK MBOMA KWENYE KAMPENI YA ' PLAY FOR THE UNION '

          Hadhara akifanya vitu vyake kwenye mitaa ya jiji la YOUNDE,nchini Cameroon

   Hawa ni Baadhi ya washiriki wa Kampeni ya PLAY FOR THE UNION, Kampeni ambayo mabalozi wake ni Wanasoka wa zamani wa kulipwa Nwanko Kanu kutoka nchini Nigeria pamoja na Mshambuliaji Patrick Mboma toka nchini Cameroon.


No comments:

Post a Comment