Search This Blog

Friday, June 15, 2012

EXCLUSIVE INTERVIEW NA MTOTO WA HASSAN AFIF ANAYECHEZA TIMU MOJA NA RAUL GONZALEZ


Mchana wa leo nilibahatika kufanya mazungumzo na mtoto wa mchezaji wa zamani wa Simba, Hassan Afif, Ally Afif ambaye ni mchezaji wa klabu bingwa ya bara la Asia Al Sadd ya nchini Qatar. Ally ambaye alizaliwa nchini Qatar na kuishi kidogo nchini Tanzania kabla ya yeye na baba yake Mzee Afif kurudi tena Doha ambapo ndio hasa alianza kukuza kipaji chake mpaka alipo sasa.


Nimepata kuongea mengi na Ally endelea kufuatilia shaffihdauda.com



                     

No comments:

Post a Comment