Search This Blog

Thursday, May 24, 2012

ARJEN ROBBEN ALIVYOZOMEWA NA MASHABIKI WA BAYERN MUNICH

Katika mechi dhidi ya Uholanzi na Bayern Munich mchezaji wa Bayern Arjen Robben ambaye ni raia wa Uholanzi alipata utata kidogo wa kuchagua timu gani aichezee. Akiwa asubuhi amefanya mazoezi na wachezaji wenzie wa Bavarians watu wengi wakawa wanategemea jioni yake angeichezea klabu yake, lakini tulipofika uwanjani Robben alionekana kavaa jezi za timu yake ya taifa - na mashabiki wa Bayern kuona hivyo wakaanza kumzomea mchezaji huyo wakimuita mjinga kila alipogusa mpira. 

No comments:

Post a Comment