Search This Blog

Sunday, April 8, 2012

LADY JAY DEE AZUNGUMZIA STEVEN KANUMBA KATIKA BLOG YAKE - ASEMA ALIMWAMBIA SIKU AKIFA ATASIFIWA SANA.

NILIWAHI KUWEKA HII POST SEPTEMBER 11, MWAKA 2009 WAKATI KANUMBA AMETOKA BBA NA MEDIA ZIKAANZA KUMSAKAMA

MANKA NA KANUMBA

Nakupa moyo homeboy, hiyo ndio bei ya u star. Watakusifia saana siku ukifa.
Ila kwa sasa fahamu kwamba wanakupenda ila wanachukia kwanini wanakupenda
Jikaze tu uendeleze hili duru

1 comment:

  1. Tatizo la Tanzania "macelebrity" hawajui kuwapenda fans zao. Yaani wanachukia at the same time wanataka wawasupport.. Learn from the best... Fans ndio wanaowaweka hapo ulipo iwe wanakuchukia au kukupenda...

    ReplyDelete