![]() |
| Pep Guardiola akiagwa na Raisi wa Barcelona Sandro Rosell |
![]() |
| Huyu ndio mrithi wake ambaye kwa sasa ndio kocha msaidizi wa Barca - Tito Vilanova |
![]() |
| "Nakuachia jahazi hili dogo liendeshe vizuri" |
![]() |
| Majembe Xavi na Carles Puyol walikuwepo katika mkutano wa kutangaza kuondoka kwa Guardiola- hapa wakiwa wanaagana nae. |
![]() |
| Asante sana kijana kwa yote uliyotufanyia. |






No comments:
Post a Comment