Search This Blog

Saturday, March 17, 2012

MOHAMED BANKA AIBIWA VIFAA MUHIMU VYA GARI YAKE LEO HII.

Kiungo wa zamani wa klabu za Simba na Yanga Mohamed Banka leo amefanywa kitu kibaya na vibaka baada ya kuibiwa vitu mbalimbali katika gari yake. Banka aliandika kwenye ukurasa wake wa Facebook.
"wezi noma leo wameniliza kila kitu chenye umuhimu ndani ya gari daah wame vunja kioo kidogo cha nyuma basi wakazama ndani ya ndinga asubuh kwenye mechi zetu duuh haya bana alafu nimeambiwa vimepatikana wanataka pesa ni vikomboe"

No comments:

Post a Comment