Search This Blog

Friday, February 3, 2012

SOFIA MWASIKILI : ' MUNGU AKIJALIA KESHO NACHEZA MCHEZO WANGU WA KWANZA KWENYE SOKA LA KULIPWA '


SOFIA MWASIKILI AKIWA NA WACHEZAJI WENZAKE NCHINI UTURUKI.

HIKI NDO KIKOSI CHA LULEBURGAZGUCU




kesho Mtanzania Sofia Mwasikili anatarajia kucheza mchezo wake wa kwanza tangia ajiunge na timu yake ya LULEBURGAZGUCU ya nchini Uturuki dhidi ya timu ya konak bel.
Luleburgazgucu inaongoza ligi  kuu ya wananwake ya nchini Uturuki ikiwa na Pointi 24 huku Konak bel ikishika nafasi ya pili na pointi 15. ligi hiyo inashirikisha jumla ya timu sita.

2 comments:

  1. All the best on ur 1st game sister.

    ReplyDelete
  2. Mafanikio mema! Si kujisahau na kubweteka na kulewa misifa.

    ReplyDelete