Search This Blog

Thursday, February 2, 2012

FELIX SUNZU KUANZA MAZOEZI LEO!

Mshambuliaji Felix Sunzu anaanza rasmi mazoezi leo jioni kwenye uwanja wa Tanganyika Packers.
Sunzu ambaye ni raia wa Zambia aliumia mwishoni mwa mwaka jana,majeraha hayo yalimsababishia kuikosa michezo miwili iliyopita ya raundi ya pili.
wakati huo huo kocha wa Simba Milovan Cirkovic amesema ushindi wa jana dhidi ya JKT OLJORO wameu-dedicate kwa kiungo Haruna Moshi baada ya kutolewa nje kwa kadi nyekundu.

No comments:

Post a Comment