Search This Blog

Friday, February 3, 2012

EXCLUSIVE: DAVID DE GEA KUSIMAMA LANGONI DHIDI YA CHELSEA


David De Gea yupo tayari kutoa suluhisho la tatizo la golikipa katika kikosi cha Manchester United at Stamford Bridge baada ya kuitumia siku ya alhamisi kumshawishi Sir Alex Ferguson kuwa yupo fit kwa kufanya session mbili za mazoezi.
Ferguson alikuwa na hofu kumuanzisha the 21-year third choice keeper Ben Amos katika mechi ya Jumapili dhidi ya Chelsea, baada ya De Gea kuumwa ghafla huku Anders Lindegaard akiumia enka.
Lakini jana De Gea alirudi mazoezini na kumpa ahueni Fergie, hivyo mhispania huyo atasimama langoni siku ya Jumapili.

2 comments:

  1. Safi sanaa de gea kaa mlangoni tunakuaminia usirudie makosa.

    ReplyDelete
  2. i can the the potential in him,one day he wil be the great stoper in england,go degea

    chela

    ReplyDelete