Search This Blog

Tuesday, December 6, 2011

NANI KUUNDA KIKOSI BORA CHA MWAKA CHA UEFA.


Shirikisho la soka barani ulaya limetangaza majina ya wachezaji 56 pamoja na makocha 5 watakaogombea nafasi ya kuunda timu ya mwaka ya shirikisho hilo katika mwaka huu wa 2011.

Jumla ya wachezaji watano wamechaguliwa katika kila nafasi, huku final line up ikitarajiwa kutangazwa mwezi January 2012, tarehe 18. Mashabiki wanatakiwa kuwapigia kura na kuwachagua wachezaji 11 watakaounda kikiosi cha wachezaji bora wa barani ulaya ndani ya mwaka 2011.


Goalkeepers:
Manuel Neuer (Bayern Munich)
Edwin van der Sar (Retired)
Iker Casillas (Real Madrid)
Victor Valdes (Barcelona)
Joe Hart (Manchester City)

Right-backs:
Dani Alves (Barcelona)
Philipp Lahm (Bayern Munich)
Christian Maggio (Napoli)
Darijo Srna (Shakhtar Donetsk)
Maxi Pereira (Benfica)

Centre-backs:
Gerard Pique (Barcelona)
Nemanja Vidic (Manchester United)
Thiago Silva (AC Milan)
Mats Hummels (Borussia Dortmund)
Sergei Ignashevich (CSKA Moscow)
Benedikt Howedes (Schalke)
Javier Mascherano (Barcelona)
Vincent Kompany (Manchester City)
Rolando (Porto)
Adil Rami (Valencia)

Left-backs:
Eric Abidal (Barcelona)
Fabio Coentrao (Real Madrid)
Marcelo (Real Madrid)
Alvaro Pereira (Porto)
Ashley Cole (Chelsea)

Right midfielders:
Xherdan Shaqiri (Basel)
Arjen Robben (Bayern Munich)
Mario Gotze (Borussia Dortmund)
Gervinho (Arsenal)
Nani (Manchester United)

Central midfielders:
Yaya Toure (Manchester City)
Xavi (Barcelona)
Jack Wilshere (Arsenal)
Joao Moutinho (Porto)
Luka Modric (Tottenham)

Attacking midfielders:
Andres Iniesta (Barcelona)
Mesut Ozil (Real Madrid)
David Silva (Manchester City)
Marek Hamsik (Napoli)
Wesley Sneijder (Inter)

Left wingers:

Gareth Bale (Tottenham)
Eden Hazard (Lille)
Angel Di Maria (Real Madrid)
Juan Mata (Chelsea)
Ashley Young (Aston Villa)

Forwards:
Lionel Messi (Barcelona)
Radamel Falcao (Atletico Madrid)
Cristiano Ronaldo (Real Madrid)
Hulk (Porto)
Javier Hernandez (Manchester United)
Robin van Persie (Arsenal)
Sergio Aguero (Manchester City)
Mario Gomez (Bayern Munich)
Edinson Cavani (Napoli)
Antonio Di Natale (Udinese)

Coaches:
Pep Guardiola (Barcelona)
Andre Villas-Boas (Chelsea)
Jurgen Klopp (Borussia Dortmund)
Alex Ferguson (Manchester United)
Rudi Garcia (Lille)

No comments:

Post a Comment