Search This Blog

Saturday, November 5, 2011

MAADHIMISHO YA MIAKA 25 YA SIR ALEX FERGUSON NDANI YA MANCHESTER UNITED


Ilikuwa November 8, 1986, at the Manor Ground, Oxford.

Tarehe na mahali Alex Ferguson ambapo Sir Alex Ferguson anapakumbuka vizuri sana.

“Nitaweza vipi kusahau mahala pale?” alisema wiki hii.

“Ulikuwa ni mchezo wa kwanza nikiwa katika benchi United na tulifungwa 2-0. Nilijisemea mwenyewe: “Oh , Yesu mkubwa, nimechagua kazi sahihi…’

Ferguson aliichukua Manchester United ikiwa katika wakati mgumu zaidi kisoka, chini ya utawala wa kisoka wa Liverpool FC. Klabu ikiwa na thamni isiyozidi £20m., lakini sasa United ndiyo klabu iliyofanikiwa zaidi katika historia ya soka nchini England na duniani.United sasa ndiyo inatajwa kuwa klabu ya michezo maarufu zaidi duniani ikikadiriwa kuwa mashabiki zaidi ya millioni 350 huku ikitajwa kuwa ndiyo klabu ya soka yenye thamni zaidi valued at £2billion.

Mafanikio yote haya yamepatikana chini ya uongozi imara na uliotukuka wa Sir Alex Ferguson.

Leo hii Ferguson anatimiza miaka 25 akiwa katika benchi la Manchester United.

TAKWIMU ZA SIR ALEX FERGUSON @ MANCHESTER UNITED


BIGGEST WINS

March 4, 1995 Ipswich (h) 9-0

Feb 6, 1999 Nottm F (a) 8-1

Oct 25, 1997 Barnsley (h) 7-0

Aug 28, 2011 Arsenal (h) 8-2

Apr 10, 2007 *Roma (h) 7-1

(All Prem, except *Champs League)

BIGGEST DEFEATS

Oct 23, 2011 Man City (h) 1-6

Oct 3, 1999 Chelsea (a) 0-5

Oct 20, 1996 Newcastle (a) 0-5

Sept 23, 1989 Man City (a) 1-5

Nov 30, 2010 *West Ham (a) 0-4

(All Prem, except *Carling Cup)

MOST WINS

1 Tottenham P58 W37

2 Everton P54 W34

3 Aston Villa P56 W34

4 Southampton P45 W29

5 Arsenal P68 W28

MOST DRAWS

1 Chelsea P65 D23

2 Arsenal P68 D19

3 Aston Villa P56 D15

4 Liverpool P59 D14

5 Tottenham P58 D13

MOST DEFEATS

1 Arsenal P68 L21

2 Chelsea P66 L19

3 Liverpool P59 L18

4 Everton P54 L9

5 Man City P43 L9

MOST GOALS SCORED

1 Tottenham P58 G101

2 Arsenal P68 G95

3 Southampton P45 G94

4 Chelsea P66 G92

5 Everton P54 G91

· AArsenal ndiyo klabu inayoongoza kwa kuifunga Manchester United chini ya uongozi wa Ferguson, wakiwafunga mara 21.

· Tottenham Hotspur ndiyo timu iliyofungwa zaidi na Manchester United chini ya uongozi wa Fergie, wakifungwa mara 37.

· Pia Spurs ndiyo timu iliyoruhusu nyavu zake kuguswa mara nyingi na United chini Fergie, wakiwa wamefungwa magoli 101.

· Chelsea nao wamefanikiwa kupata matokeo ya sare na United ya Fergie kuliko timu yoyote ya England, wakipata sare katika mechi 23.

· Manchester City ndiyo klabu iliyompa kipigo kikubwa Ferguson kuliko timu yoyote in England, baada ya kuitandika United mabao 6-1 mwezi uliopita.

· Ushindi mkubwa zaidi kwa Sir Alex Ferguson katika uongozi wake ndani ya United ulikuwa ushindi wa mabao 9-0 dhidi ya Ispwich Town, mwaka 1995, mwezi 3 katika premier league.

No comments:

Post a Comment