Search This Blog

Thursday, November 17, 2011

LUCAS MOURA: MBRAZIL MWENYE KIPAJI ANAYEZIGOMBANISHA MAN UTD NA LIVERPOLL.


Kiungo anayechipukia wa kibrazili anayewania na klabu mbili mahasimu wa ligi kuu ya England Lucas Moura ameambiwa na klabu yake ya Sao Paulo kuwa ataweza kuuzwa mwezi January ikiwa klabu inayomtaka itatoa ofa ambayo watashindwa kuikataa.



Kiungo huyo ambaye amekuwa akizizvutia klabu nyingi barani ulaya baada ya kuonyesha kiwango kizuri katika ligi ya nchini kwao, lakini klabu yake ya Sao Paulo wamekuwa wagumu kumuachia kiungo huyo.

“Wazo letu ni kutokumuuza kabisa katika dirisha dogo la usajili mwezi January, lakini kama kuna timu kati nyingi zinazomuwania itatoa ofa ambayo ni nzuri tutashindwa kumzuia kuondoka.” Alisema mwakilishi wa klabu hiyo ya Brazil.

No comments:

Post a Comment