Search This Blog

Friday, November 25, 2011

EXCLUSIVE: DANNY MRWANDA AULA VIETNAM- AONGEZEWA MKATABA MWINGINE/

Mshambuliaji wa kiamtaifa wa Tanzania Daniel “Danny” Mrwanda ameongezewa mkataba wamwaka mmoja kuendelea kuichezea klabu yake ya Dong Tam Long An ya nchini Vietnam.

Mrwanda ambaye msimu uliopita alikuwa anaichezea klabu ya Dong Tam Long An iliyoshiriki ligi kuu ya Vetnam msimu uliopita amesaini mkataba wa mwaka mmoja lengo likiwa ni kuhakikisha timu hiyo inarudi tena ligi kuu msimu ujao.


baada ya kuonyesha kiwango kizuri mchezaji huyo wa zamani wa Simba ya Tanzania amefanikiwa kuongezewa mkataba mwingine wa kuendelea kuitumikia klabu hiyo.




No comments:

Post a Comment