Kocha wa Mchezo wa ngumi, Boma Kilangi (kushoto) akimsimamia mazoezi bondia Deo Njiku wa Morogoro wakati wa mazoezi yake ya kujiandaa na mpambano wake wa ubingwa zidi ya Jonas Segu wa Dar es Salaam litakalofanyika Uwanja wa Jamuhuri Morogoro wiki ijao.(picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com)

No comments:
Post a Comment