Search This Blog

Thursday, October 13, 2011

CHICHARITO ASAINI MKATABA MPYA WA MIAKA 5 NA UNITED


Siku chache baada ya kutoka kwa taarifa kuwa Real Madrid wametenga kiasi cha £30 million kwa ajli ya kumsajili Javier Hernandez, klabu ya Manchester United leo imetangaza kuwa mchezaji huyo kutoka Mexico amesaini mkataba wa mpya wa miaka 5.

No comments:

Post a Comment