Search This Blog

Wednesday, September 28, 2011

Jan Poulsen Azindua mashindano ya Muivaro cup huko mkoani Arusha.






kocha wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars Jan Poulsen akikagua timu ya Newlife wakati alipokuwa mgeni rasmi katika mashindano ya ligi ya vijana na watoto yaliyoanza leo mjini hapa





kocha wa timu ya taifa Jan Poulsen akiwa timu ya Future academy wakati wa uzinduzi wa muivaro cup, mashindano ambayo yameanza jana jijini hapa(picha zote na Woinde Shizza,Arusha)

No comments:

Post a Comment