Search This Blog

Thursday, September 22, 2011

huyu ndo Mbwa aliyeingia Uwanja wa CCM Kirumba.

Hapa alikuwa anamkimbiza Kiungo Haruna Moshi 'BOBAN' .




Huyu Mbwa alimtoroka Askari na kuingia uwanjani na kuwakimbiza wachezaji kama unavyomuona hapo pichani.








Hapa ilikuwa kabla hajakata kamba....cheki anavyowaangalia Raia....anaonekana ana uchu kweli...



*Tukio hili lilitokea Mkoani Mwanza kwenye mchezo wa ligi kuu ya Vodacom kati ya TOTO AFRICANS na SIMBA Uliomalizika kwa timu hizo kufungana mabao 3-3.

No comments:

Post a Comment