Search This Blog

Wednesday, August 24, 2011

MATUKIO KATIKA PICHA KWENYE MCHEZO WA AZAM vs AFRICAN LYON.

Kocha wa Azam Stewart Hall akiwa haamini kama timu yake imepokea kichapo.


Kocha msaidizi na CHIEF SCOUT wa SEATTLE sounders ya nchini Marekani Mr Kurt Schmid akifanya mahojiano na SPORTS BAR ya CLOUDS TV.


KURT SCHMID akiwa makini kusaka vipaji kwenye mchezo wa AZAM na AFRICAN LYON.
atakuwepo nchini mpaka 01/09/2011.

Mrisho Ngassa akiwa haamini kama timu yake imefungwa.



mfungaji wa bao la ushindi ADAM Kingwande( jezi namba 7 ),mayanja na Razack Khalfan.

Kingwande na Mayanja



SHABIKI MAARUFU WA Azam fc MBWIGA ( kushoto ) na shabiki namba moja Ramadhan Chombo.

No comments:

Post a Comment