Search This Blog

Thursday, August 4, 2011

FINALLY DADDY IS AT HOME




Steven Gerrard ameruhusiwa kutoka leo jioni na amepokelewa na mkewe Alex ambaye ni mjamzito pamoja na watoto wake wawili wa kike.


Gerrard alilazwa hospital toka last weekend baada ya kupata infection katika korodani, sehemu ya mwili ambayo alifanyiwa operation last year.





Gerrard ambaye hajaichezea timu yake ya Liverpool toka mwishoni mwa msimu uliopita, anatarajiwa kurudi dimbani mwezi September, miezi miwili kabla ya mkewe kujifungua mtoto wa 3.


Welcome Home Kapteiiiiiiiiiiiiiiin.


No comments:

Post a Comment