Search This Blog

Sunday, July 31, 2011

MAKUNDI YA KUFUZU FAINALI ZA KOMBE LA DUNIA 2014

Upangaji makundi ya mechi za mchujo kwa ajili ya fainali za Kombe la Dunia 2014 nchini Brazil ulifanywa jana (Julai 30 mwaka huu) karibu na ufukwe wa Copacabana jijini Rio de Janeiro nchini Brazil ukiongozwa na Katibu Mkuu wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) Jerome Valcke.

Tanzania (Taifa Stars) imepangwa kundi C Kanda ya Afrika ambalo lina timu za Cote d’Ivoire, Morocco na Gambia. Lakini kabla ya kuingia katika kundi hilo Stars italazimika kucheza raundi ya kwanza ya mchujo dhidi ya Chad.

Stars ikifanikiwa kuitoa Chad baada ya mechi mbili za nyumbani na ugenini zitakazochezwa kati ya Novemba 11-15 mwaka huu ndiyo itaingia katika kundi hilo la C. Pia mshindi wa kundi C ndiye atakayeingia katika raundi inayofuata kabla ya kupata tiketi ya kwenda Brazil.

Stars ni miongoni mwa timu 29 ambazo kwenye viwango vya ubora vya FIFA vya Julai mwaka huu katika Afrika ziko chini ya timu 24 bora, hivyo kulazimika kuanzia hatua hiyo ya kuchujana zenyewe kabla ya kuingia hatua ya makundi ambayo itachezwa kuanzia Juni 1, 2012 hadi Septemba 10, 2013.

Kwa mujibu wa viwango vya FIFA vya Julai mwaka huu, Tanzania iko katika nafasi ya 127 wakati Chad ni namba 158. Kwa upande wa Afrika, Tanzania ni namba 33 na Chad 43. Nchi 52 kati ya 53 za Afrika zimeingia katika michuano hiyo ya Kombe la Dunia. Ni Mauritania pekee ambayo haikuthibitisha ushiriki wake.

Timu 10 za juu kwa ubora barani Afrika ambazo zimeongoza makundi 10 ya Afrika katika upangaji ratiba ni Afrika Kusini, Tunisia, Cote d’Ivoire, Ghana, Burkina Faso, Nigeria, Misri, Algeria, Cameroon na Senegal.

Afrika ina nafasi tano kwenye fainali za Kombe la Dunia, huku Ulaya ikiongoza kwa kuwa nazo 13











CAF FIRST ROUND
Somalia v Ethiopia
Equatorial Guinea v Madagascar
Chad v Tanzania
Lesotho v Burundi
Sao Tome e Principe v Congo
Seychelles v Kenya
Djibouti v Namibia
Comoros v Mozambique
Eritrea v Rwanda
Guinea-Bissau v Togo
Swaziland v DR Congo
Mauritius v Liberia

GROUP A
South Africa
Botswana
Central African Republic
Somalia/Ethiopia






GROUP B




Tunisia
Cape Verde Islands
Sierra Leone
Equatorial Guinea/Madagascar
GROUP C
Ivory Coast
Morocco
Gambia
Chad/Tanzania
GROUP D
Ghana
Zambia
Sudan
Lesotho/Burundi
GROUP E
Burkina Faso
Gabon
Niger
Sao Tome e Principe/Congo
GROUP F




Nigeria
Malawi
Seychelles/Kenya
Djibouti/Namibia
GROUP G
Egypt
Guinea
Zimbabwe
Comoros/Mozambique
GROUP H
Algeria
Mali
Benin
Eritrea/Rwanda
GROUP I
Cameroon
Libya
Guinea-Bissau/Togo
Swaziland/DR Congo
GROUP J
Senegal
Uganda
Angola
Mauritius/Liberia




Concacaf

The teams ranked 7-25 in the region will be joined by the five play-off winning teams from round one to comprise six groups of four teams in the second round of qualification.

The group winners will then be drawn alongside the six best-ranked teams in the region in the third round of the qualification process before the fourth round, the Hexagon, commences.

SECOND ROUND:
GROUP A
El Salvador
Surinam
Cayman Islands
Dominican Republic
GROUP B
Trinidad & Tobago
Guyana
Barbados
Bermuda
GROUP C




Panama




Dominica
Nicaragua
Bahamas

GROUP D
Canada
St.Kitts & Nevis
Puerto Rico
St Lucia

GROUP E
Grenada
Guatemala
St Vincent & the Grenadines
Belize

GROUP F
Haiti
Antigua & Barbuda
Curacao
US Virgin Islands


THIRD ROUND:
GROUP A
USA
Jamaica
Winner E
Winner F

GROUP B
Mexico
Costa Rica
Winner A
Winner B

GROUP C
Honduras
Cuba
Winner D
Winner C
Conmebol

Brazil, as hosts, qualify automatically. Each of the other nine member teams will play against each other home and away in order to determine the final finishing order of qualified sides. The top four will play at the 2014 Fifa World Cup while the fifth placed team will face an intercontinental play-off with a Concacaf nation.

CONMEBOL TABLE
Argentina
Bolivia
Chile
Colombia
Ecuador
Paraguay
Peru
Uruguay
Venezuela





The winners of each group will qualify directly for the 2014 Fifa World Cup. The eight best runners-up will be drawn against each other in a two-legged play-off to determine the other four qualifiers.

GROUP A
Croatia
Serbia
Belgium
Scotland
FYR Macedonia




Wales




GROUP B
Italy
Denmark
Czech Republic
Bulgaria
Armenia
Malta

GROUP C
Germany
Sweden
Ireland
Austria
Faroe Islands
Kazakhstan




GROUP D
Netherlands
Turkey
Hungary
Romania
Estonia
Andorra

GROUP E
Norway
Slovenia
Switzerland
Albania
Cyprus
Iceland




GROUP F
Portugal
Russia
Israel
Northern Ireland
Azerbaijan
Luxembourg

GROUP G
Greece
Slovakia
Bosnia-Herzegovina
Lithuania
Latvia
Liechtenstein
GROUP H
England
Montenegro
Ukraine
Poland
Moldova
San Marino


GROUP I
Spain
France
Belarus
Georgia
Finland

No comments:

Post a Comment