Search This Blog

Friday, May 20, 2011

SITALIA KAMA NIKIFUKUZWA-ANCELOTTI



Kocha wa klabu ya Chelsea ya England, muitaliano Carlo Ancelotti amesisitiza hatojali kama klabu hiyo ikiamua kumfukuza kazi baada ya mechi ya kumaliza msimu jumapili hii.
Italian coach amethibitisha kuwa next week kutakuwa na kikao cha kuamua hatma ya ajira @ Stamford Bridge. "Mpaka sasa sijajua hatma yangu lakini wiki ijayo baada ya kikao na uongozi nitafahamu kama nitaendelea kuwa kocha wa klabu au la, lakini klabu ikiamua kunitimua sitoalia, nitaheshimu maamuzi na suluhisho jingine."

No comments:

Post a Comment