Search This Blog

Thursday, May 19, 2011

BELLE 9-NAICHUKIA SANA MAN UNITED



Mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya Belle 9 ameongea na blog hii na kuelezea mapenzi mapenzi kwa klabu ya Arsenal huku akisistiza kuichukia sana Man United

SHAFFIH: Bongo Unashabikia Timu Gani na mchezaji yupi anayekuvutia?

BELLE 9: Bongo ninashabikia Yanga na mchezaji ambaye ninamuhusudu ni Mrisho Khalfan Ngassa ingawa zamani nilikuwa nampenda sana Edibily Lunyamila.

SHAFFIH: Barani Ulaya unashabikia timu gani ?

BELLE 9: Aaaaaa nawakubali the Gunners, aka washika bunduki wa london

SHAFFIH: Wachezaji unawakubali ulimwenguni?

BELLE 9: Cristiano Ronaldo, Torres na Didier Drogba

SHAFFIH: Ni timu gani ambayo hauna kabisa mapenzi nayo?

BELLE 9: Eee bwana mi siipendi sana Manchester United, yaani siihusudu kabisa ile timu.

2 comments: