Search This Blog

Wednesday, May 25, 2011

BAHATI PEKEE NDIO ITAWAOKOA MAN UNITED - GARY LINEKER


Former England and Barcelona striker Gary Lineker anaamini Man united wanahitaji bahati ili waweze kuibuka mabingwa wa ulaya msimu huu.
Lineker amesema kama Barca wakiwa katika hali nzuri hajui ni vipi United wataepukana na kipigo.
"Barcelona wakiwa na siku mbaya ndio itakuwa silaha ya united dhidi yao, Lineker ameiambia BBC.

No comments:

Post a Comment