Search This Blog

Tuesday, May 17, 2011

ASIYETAKA KUCHEZEA MAN UNITED NI CHIZI-STEKELENBURG




Moja ya magolikipa wanaotajwa kuwa ni warithi sahihi wa Van De Sar wa Man United, Marteen Stekelenburg amezungumza na kusema mtu yeyote atakayekataa kuchezea Man United atakuwa na matatizo ya akili.
Stelenburg ambaye ni golikipa wa timu ya Ajax na timu ya taifa ya Uholanzi amezungumza na kukiri kuwa anatamani kujiunga na United lakini hajapokea offer yoyote kutoka Old Trafford.
"Ningependa sana kujiunga na Man United lakini mpaka sasa sijapokea offer yoyote kwao.Anybody who does not want to play at Theatre of the Dreams would be insane."
"Ajax wamenipa mkataba mzuri lakinibado nafikiria ingawa nina uhusiano mzuri na viongozi wangu.Nina furaha hapa na nimekuwa muda mzuri ndani ya klabu hii, lakini nitapata offer nzuri kutoka United sitofikiria mara mbili kujiunga nayo."-Stekelenburg.

No comments:

Post a Comment