Search This Blog

Friday, December 30, 2011

FERGUSON: NITAMPA MWAKA MMOJA ZAIDI BERBATOV

Finally, Manchester United manager Sir Alex Ferguson amesema klabu hiyo itamuongezea mkataba wa mwaka mmoja Dimitar Berbatov utakaomuweka Mbulgaria Old Trafford hadi mwaka 2003.

Ferguson amesema ofa ya mkataba mpya kwa Berba itatolewa mapema mwezi Machi, tarehe ya mapema zaidi that his contract cabn be renewed.

The 30-year old striker alijiunga na United kutoka Tottenham on 2008 kwa ada iliyovunja rekodi ya £30million na amefunga magoli 53 katika mechi 142 alizoitumikia United.

Barbatov amekuwa akikosa nafasi za mara kwa mara kupangwa katika kikosi cha kwanza cha United, lakini hivi karibuni alirudi na kufunga magoli manne katika mechi 2 including a hat trick @Old Trafford dhidi ya Wigan Jumatatu iiyopita.

No comments:

Post a Comment