Search This Blog

Wednesday, October 12, 2011

MAN UNITED YATHIBITISHA KUMFUATILIA VAN WOLFSWINKEL


Manchester United wamethibitisha kwamba wanamuangalia kwa karibu mshambuliaji wa Sporting Lisbon Ricky Van Wolfswinkel.

Gazeti la Sportsmail walitoa siri kuwa United wamekuwa wakimchunguza kwa karibu mshambuliaji huyo wa kidachi kwa muda mrefu sasa.

The 22-year old straiker amejiunga na Sporting kipindi cha kiangazi kilichopita kutoka Utrecht kwa £5.5m lakini sasa Ricky anatajwa kuwa na thamani ya £11m baada ya kufunga magoli 6 katika mechi zake 8 za mwanzo.

Kocha msaidizi wa United Mike Phelan alisema: “Tumemfahamu Van Wolfswinkel kwa muda mrefu sasa.Ni kijana mdogo mwenye kipaji kikubwa ambaye ana maendeleo mazuri sana.”

No comments:

Post a Comment