Search This Blog

Tuesday, August 30, 2011

Wenger Anakaribia kumsajili kwa ada ya £8m beki Mjerumani Mertesacker baada ya kukamilisha usajili wa Andre Santos kwa ada ya £6.2m

Per Mertesacker



Andre Santos

Arsene Wenger anakaribia kumsajili beki wa kati Per Mertesacker kwa ada ya uhamisho ya paundi milioni 8,
Mapema leo Arsenal imekamilisha uhamisho wa beki wa kushoto Andres dos Santos toka Fenabahce ya Uturuk
Mertesacker anataraji kwenda jijini London kufanyiwa vipimo vya afya.

No comments:

Post a Comment