Search This Blog

Tuesday, August 23, 2011

WACHEZAJI WATOA MAONI YAO JUU YA NASRI KWENDA CITY

Saa moja baada ya Arsenal kuthibitisha kukubaliana na Man City juu ya ada ya uhamisho wa Samir Nasri, kocha wa Gunners na baadhi ya wachezaji wa klabu hiyo wametoa maoni yao.

WENGER: “Siku zote kuondoka kwa mchezaji muhimu kunakuwa na effects Fulani ndani ya timu, inaweza positive kwa timu mkiwa vizuri kiakili kwa sababu inaongeza umoja kwa kujua tunatakiwa kupigana zaidi.

EMMANUEL FRIMPONG: “Pesa ndio mzizi wa ushetani”

JACK WILSHARE: “Nakutakia heri rafiki yangu Mr. Nasri.Nimejifunza mengi kutoka kwako, mchezaji wa daraja la juu.Nitakukumbuka.

ROBIN VAN PERSIE: “All the best Nasri kwaklabu yako mpya.Asante kwa yote mazuri.”

No comments:

Post a Comment