Search This Blog

Friday, June 10, 2011

GIGGS ANAWEZA KUSTAAFU - FAMILIA


Familia ya mwanasoka na mchezaji wa Man United Ryan Giggs imesema inahofia kuwa winga huyo wa United anaweza akatundiga daluga mufuatia skendo yake ya kumsaliti mkewe na kaka yake.

Rafiki wa karibu wa familia hiyo anasema. "Tunahofia kuwa Ryan ataamua kuacha soka ili kuepuka kuzungumzia na vyombo vya habari.Kuendelea kucheza soka kutamleletea usumbufu mkubwa, watu wengi waliokuwa wanamsapoti wamepoteza imani nae na Ryan hawezi kuvumilia kupambana na maneno kutoka kwa fans.”

A club source saidXhanzo cha habri kutoka United kinasema: “Hili jambo linakuwa na linatia watu wasiwasi ndio maana Ferguson yupo tayari kumpa mapumziko marefu ili Giggs atumie muda kuweka mambo vizuri.”

Kwa zaidi ya wiki mbili sasa Giggs amekuwa akiandamwa na skendo ya kumsaliti mkewe baada ya kuwa na mahusiano na mke wa kaka yake.

No comments:

Post a Comment