Search This Blog

Wednesday, May 18, 2011

BIRMINGHAM CITY YAKATISHA ZIARA YAO NCHINI TANZANIA.



Uongozi wa timu ya birmingham city hii leo wamekatisha mpango wao wa kufanya ziara yake nchini Tanzania baada yakusema kuwa haitaweza kucheza na timu moja,Uongozi wa timu ya BIRMINGHAM CITY ulitaka kucheza na timu mbili kama ilivyokua imepangwa awali.

No comments:

Post a Comment