Mashabiki wakifuatilia mchezo wa ufunguzi.
Wanamuziki wa Bendi ya Mwenge Jazz wakitumbuiza wakati wa ufunguzi wa mashindano ya Afrika ya Netiboli.
Kikosi cha Taifa Queen's
Mlinzi wa timu ya taifa ya Netiboli Tanzania, ‘Taifa Queens’, Lilian Sylidion (kushoto), akiwania mpira mbele ya wachezaji wa timu ya Lesotho katika mchezo wa ufunguzi wa mashindano ya Afrika uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Taifa Queen's imeshinda 57-13.

No comments:
Post a Comment