Pages

Wednesday, July 27, 2011

AGUERO ATUA ENGLAND KUMALIZANA NA CITY


Sergio Aguero ametua jijini Manchester kukamilisha uhamisho wake kutoka Atletico Madrid kwenda Eastlands kwa dili lenye thamani ya £38million.

Muargentina huyo alisafiri kutoka kwao jana Jumanne usiku mara baada ya klabu mbili kumalizana, na alitumia mtandao wa Twitter kuelezea kuwasili kwake in Manchester.

Aliandika: “Nimefika jijini Manchester kukamilisha details za ofa ya City.Kila kitu kipo sawa, muda mchache ujao nitawaambia zaidi.”

No comments:

Post a Comment