tag:blogger.com,1999:blog-7666991204659384237.post7628844057229260562..comments2024-03-13T22:55:00.987+03:00Comments on Shaffih Dauda in Sports.: PAMBANO LA SIMBA NA YANGA LAINGIZA MILLIONI 500 - WASHABIKI 57,422 WALIKATA TIKETIUnknownnoreply@blogger.comBlogger1125tag:blogger.com,1999:blog-7666991204659384237.post-35468740812634655182013-10-22T11:53:08.753+03:002013-10-22T11:53:08.753+03:00Huo mgawanyo wa hela ni wa kijinga sana.
watu weng...Huo mgawanyo wa hela ni wa kijinga sana.<br />watu wengine zinawakuta ofisi hizo pesa bila jasho lolote na timu zetu zitaendelea kuwa masikini.<br />kwangu mgao huo uangaliwe upya.<br /><br />kwa maoni yangu ni sawa..<br />1. Ya uwanja ni sawa kabisa ili tuweze kumantain uwanja wetu.<br />2.Kodi ni sawa ila serikali nayo ingepunguza kidogo 12%VAT.<br />ambayo siyakubali migao ya kamati ya ligi,gharama ya mechi...siwaelewi ni wizi mtupu.<br />Chondechonde naomba wakae wajadili na wadau jinsi ya mgawanyo unaofaa<br />Anonymousnoreply@blogger.com